Tuesday, February 12, 2013

DIRECTOR WA KITAMBO


Ukisikia kina TMK Wanaume, Dully Sykes ,  Juma Nature, Matonya , Yp , Ydash, Chidi Benz, Tunda man, Madee, Chege na Temba na wengine wengi.... Basi huyu jamaa kapiga Videos kitambo na Mpaka sasa anaendelea gonga Vichupa vikali kwenda mbele.

Kwa jina anaitwa Solomon Lamba na ndiye C.E.O wa Studios za Emptysoulz Production zilizopo Mikocheni karibu na kituo cha mabasi cha ITV.

Ameshawahi beba Kili Awards mara mbili na nyingine toka nje ya nchi, kwa sasa anapiga si kazi za Music Videos tu bali mpaka Tv Programes, Documentarys, na soon anaingia upande wa Movies.

Kazikali imeona si haki kama haitampongeza Director huyu kwa Mchango wake mkubwa ktk Bongo Fleva na Sanaa kwa Ujumla.

No comments:

Post a Comment